Friday, July 20, 2012

Siku kuu ya vijana katika kigango cha Mt Bakita Nane nane Morogoro

Waumini wakiingia kanisani tayari kwa ibada huku wasimamizi wakiwaongoza kutokana na utaratibu uliopangwa

Muumini akiingia kanisani tayari kwa ibada


Ibada ya misa imeshaanza

Injili ikisomwa (Picha na AJ Churi)

Habari njema ikisomwa (Picha na AJ Churi)

Kwaya ya Vijana ikipambwa na watoto wa Kipapa wakiimba katika ibada ya Misa (Picha na AJ Churi)

Kwaya ya Vijana (viwawa - bakita nanenane) ikipambwa na watoto wa Kipapa wakiimba katika ibada ya Mis(Picha na AJ Churi)